Mtoto huyo alifariki dunia Mei 5, mwaka huu katika kijiji cha Msingisi Wilaya ya Gairo, lakini ulitokea mvutano kati ya wazazi kuhusu dini ya kumzikia mtoto kwakuwa wazazi wana imani tofauti za dini, na kila mzazi alitaka kumzika kwa dini yake.
Morogoro. Mahakama ya Wilaya ya Morogoro imeamuru mwili wa mtoto, David Mng’ombe (8) mkazi wa Gairo kuzikwa kwa imani ya dini ya Kikristo baada ya kuwapo kwa mvutano baina ya baba wa mtoto, Shukuru Mng’ombe na mama yake, Emilia Chitemo kuhusu dini.
Mtoto huyo alifariki dunia Mei 5, mwaka huu katika kijiji cha Msingisi Wilaya ya Gairo, lakini ulitokea mvutano kati ya wazazi kuhusu dini ya kumzikia mtoto kwakuwa wazazi wana imani tofauti za dini, na kila mzazi alitaka kumzika kwa dini yake.
No comments:
Post a Comment