Saturday, 21 May 2016

Majina Ya Kidato Cha Sita 2016 Waliochaguliwa na JKT kwa mafunzo

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2016, kutoka shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria. 


Sanjari na uchaguzi huo, JKT limewapangia makambi watakayokwenda kupatiwa mafunzo kwa muda wa miezi mitatu na wanatakiwa kuripoti makambini kuanzia tarehe 01 - 05 Juni 2016. 

BOFYA HAPA KUPATA ORODHA KAMILI
Kambi ya KANEMBWA---KIGOMA

KAMBI YA RWANKOMA--MARA

KAMBI YA BULOMBORA--KIGOMA

KAMBI YA MSANGE--

No comments:

Post a Comment