Wednesday, 13 April 2016

Je unataka kulipwa mshahara mkubwa ?Soma utafiti

e unataka kulipwa mshahara mkubwa ?
Unahitaji kujifunza udaktari au maswala ya kiuchumi.
Utafiti wa mafunzo ya fedha IFS umeripoti kuwa wanafunzi waliosomea utabibu na maswala ya kiuchumi huwa na mshahara mkubwa zaidi baada ya kuhudumu kwa takriban miaka 10.
Wanaume wanaohitimu katika masomo hayo hujizolea takriban pauni elfu 55,utafiti huo umebaini.
Taaluma zenye faida kubwa
ShahadaMapato
Udaktari£ 55,000
Uchumi£ 42,000
Uhandisi na Teknolojia£ 31,200
Sheria£ 30,100
Sayansi£ 29,600
Elimu£ 29,600
Usanifu mijengo£ 28,600
Hisabati na Sayansi ya Kompyuta£ 26,800
Biashara£ 26,500
Sayansi ya Jamii£ 26, 200
Historia na Falsafa£ 26,500
Bayolojia£ 25,200
Kilimo£ 21,400
Habari na Mawasiliano£ 19,300

No comments:

Post a Comment