e unataka kulipwa mshahara mkubwa ?
Unahitaji kujifunza udaktari au maswala ya kiuchumi.
Utafiti wa mafunzo ya fedha IFS umeripoti kuwa wanafunzi waliosomea utabibu na maswala ya kiuchumi huwa na mshahara mkubwa zaidi baada ya kuhudumu kwa takriban miaka 10.
Wanaume wanaohitimu katika masomo hayo hujizolea takriban pauni elfu 55,utafiti huo umebaini.
Taaluma zenye faida kubwa | |
---|---|
Shahada | Mapato |
Udaktari | £ 55,000 |
Uchumi | £ 42,000 |
Uhandisi na Teknolojia | £ 31,200 |
Sheria | £ 30,100 |
Sayansi | £ 29,600 |
Elimu | £ 29,600 |
Usanifu mijengo | £ 28,600 |
Hisabati na Sayansi ya Kompyuta | £ 26,800 |
Biashara | £ 26,500 |
Sayansi ya Jamii | £ 26, 200 |
Historia na Falsafa | £ 26,500 |
Bayolojia | £ 25,200 |
Kilimo | £ 21,400 |
Habari na Mawasiliano | £ 19,300 |
No comments:
Post a Comment